Paka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 15:27, 10 Julai 2019 na Praxidicae (majadiliano | michango) (spam)
Paka
Paka miguu-myeusi
Paka miguu-myeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Acinonyx Brookes, 1828

Caracal Gray, 1843
Felis Linnaeus, 1758
Leopardus Gray, 1842
Leptailurus Severtsov, 1858
Lynx Kerr, 1792
Pardofelis Martin, 1837
Prionailurus Severtsov, 1858
Profelis Severtsov, 1858
Puma Jardine, 1834

Paka ni wanyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Spishi nyingine zinaitwa duma, simbamangu na mondo. Nyingi ni ndogo kama paka-kaya lakini spishi kama duma, linksi na puma ni kubwa zaidi sana. Isipokuwa simbamangu, Asian golden cat, puma na pengine paka-msitu, paka wote wana milia na/au madoa. Paka hukamata mawindo aina yo yote lakini ukubwa wa mawindo unafuatana na ukubwa wa spishi ya paka. Spishi nyingine zinatokea msitu na nyingine zinatokea maeneo wazi.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Viungo vya nje

https://en.wikipedia.org/wiki/Cat