622
Mandhari
(Elekezwa kutoka 622 BK)
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 6 |
Karne ya 7
| Karne ya 8
| ►
◄ |
Miaka ya 590 |
Miaka ya 600 |
Miaka ya 610 |
Miaka ya 620
| Miaka ya 630
| Miaka ya 640
| Miaka ya 650
| ►
◄◄ |
◄ |
618 |
619 |
620 |
621 |
622
| 623
| 624
| 625
| 626
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 622 (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 16 Julai: mwanzo wa Hijra - Muhammad na wafuasi wake wanaondoka Makka kuhamia Madina. Mwaka huu utakuwa mwaka wa kwanza wa Kalenda ya Kiislamu.
- 20 Septemba - Muhammad anafika Madina anapopokelewa vzuri na kuwa kiongozi wa mji pamoja na Umma wa wafuasi wake
- Vita kati ya Uajemi na Bizanti: Kaisari Herakleios anaongoza mashumbulizi ya Waroma.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 8 Aprili: kifo cha Shotoku Kaishi, mwana wa nasaba ya kifalme wa Japani aliyekuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Ubuddha nchini Japani
