1907
Mandhari
(Elekezwa kutoka 1907 (mwaka))
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1903 |
1904 |
1905 |
1906 |
1907
| 1908
| 1909
| 1910
| 1911
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1907 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 17 Desemba - Nchi ya Bhutan imekuwa umonaki kupitia kwa uchaguzi wa Ugyen Wangchuk kama mfalme wa kwanza.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 23 Januari - Hideki Yukawa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1949
- 3 Februari - James Michener, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1948
- 21 Februari - W. H. Auden, mshairi kutoka Uingereza na Marekani
- 23 Machi - Daniel Bovet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1957
- 24 Machi - Janet Bragg, rubani wa kike kutoka Marekani
- 15 Aprili - Nikolaas Tinbergen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973
- 25 Juni - Johannes Hans Daniel Jensen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963
- 6 Julai - Frida Kahlo, mchoraji kutoka Mexiko
- 18 Septemba - Edwin McMillan, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951
- 30 Septemba - Joseph Kramm, mwandishi kutoka Marekani
- 2 Oktoba - Alexander Todd, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1957
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 16 Februari - Giosue Carducci, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1906
- 20 Februari - Henri Moissan, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1906
- 4 Septemba - Edvard Grieg, mtunzi wa muziki kutoka Norwei
- 7 Septemba - Sully Prudhomme, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1901
