1867
Mandhari
(Elekezwa kutoka 1867 (mwaka))
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1863 |
1864 |
1865 |
1866 |
1867
| 1868
| 1869
| 1870
| 1871
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1867 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 17 Februari - meli ya kwanza inapita Mfereji wa Suez
- 18 Oktoba - Urusi unauza Alaska kwa Marekani.
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 8 Januari - Emily Balch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1946)
- 18 Januari - Rubén Darío, mwandishi kutoka Nikaragua
- 23 Aprili - Johannes Fibiger (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1926)
- 7 Mei - Wladyslaw Reymont (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1924)
- 8 Juni - Frank Lloyd Wright, msanifu majengo kutoka Marekani
- 28 Juni - Luigi Pirandello (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1934)
- 1 Agosti - William Speirs Bruce, mpelelezi wa Antaktiki kutoka Uskoti
- 14 Agosti - John Galsworthy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1932)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 14 Januari - Jean-Auguste-Dominique Ingres, mchoraji kutoka Ufaransa
- 30 Januari - Komei, Mfalme Mkuu wa 121 wa Japani (1846-1867)
