1866
Mandhari
(Elekezwa kutoka 1866 (mwaka))
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1862 |
1863 |
1864 |
1865 |
1866
| 1867
| 1868
| 1869
| 1870
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1866 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]- 8 Juni - Bunge la Kanada linafanyika mara ya kwanza katika mji wa Ottawa.
- 14 Juni hadi 23 Agosti 1866 - Vita ya Kijerumani, mwisho wa shirikisho la Ujerumani, Prussia inashinda Austria na kuchukua uongozi ndani ya Ujerumani
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 15 Januari - Nathan Söderblom (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1930)
- 29 Januari - Romain Rolland (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1915)
- 11 Machi - Charles Andler, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 12 Agosti - Jacinto Benavente (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1922)
- 21 Septemba - Charles Nicolle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928)
- 25 Septemba - Thomas Hunt Morgan (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1933)
- 12 Desemba - Alfred Werner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1913)
