Mkoa wa Ordu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: pnb:صوبہ اوردو
Mstari 41: Mstari 41:
* {{tr icon}} [http://www.ordu.gov.tr The provincial governorate]
* {{tr icon}} [http://www.ordu.gov.tr The provincial governorate]
* {{tr icon}} [http://www.ordum.com Ordum.Com local information]
* {{tr icon}} [http://www.ordum.com Ordum.Com local information]
* {{tr icon}} [http://www.huseyin.gen.tr Ordu Ve Yaşam]


{{Districts of Turkey|provname=Ordu}}
{{Districts of Turkey|provname=Ordu}}

Pitio la 14:03, 2 Septemba 2011

Mkoa wa Ordu
Maeneo ya Mkoa wa Ordu nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Bahari Nyeusi
Eneo: 6,001 (km²)
Idadi ya Wakazi 890,869 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 52
Kodi ya eneo: 0452
Tovuti ya Gavana http://www.ordu.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/ordu


Ordu ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki. Upo kwenye pwani ya Bahari Nyeusi. Mkoa unaopakana karibu na hapa ni pamoja na Samsun upande wa kaskazini-maghribi, Tokat upande wa kusini-magharibi, Sivas upande wa kusini, na Giresun upande wa mashariki. Mji mkuu wake ni Ordu.

Faili:Ordu findik.jpg
Nyumba kikulima kabisa za Ordu

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Ordu umegawanyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ordu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.