Thomas wa Cantilupe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Thoma Cantelupe)
Mchoro wake wa zamani.

Thomas wa Cantilupe (Hambleden, 1218 hivi - Montefiascone, Italia, 25 Agosti 1282) alikuwa kansela wa Uingereza na askofu wa Hereford, akiwajibika kwa uadilifu mkubwa katika siasa na katika uchungaji vilevile.

Mtu mwenye elimu kubwa, alisaidia kwa ukarimu fukara, ingawa alikuwa mgumu kwake mwenyewe [1].

Papa Yohane XXII alimtangaza kuwa mtakatifu tarehe 17 Aprili 1320.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Alington, Gabriel (2001). St Thomas of Hereford. Leominster: Gracewing. ISBN 0852445253.
  • Bartlett, Robert (2004), The Hanged Man: A Story of Miracle, Memory, and Colonialism in the Middle Ages, Princeton University Press, ISBN 0-691-11719-5
  • Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996), Handbook of British Chronology (toleo la Third Edition, revised), Cambridge University Press, ISBN 0-521-56350-X
  • Jancey, Meryl, mhr. (1982). St Thomas Cantilupe, Bishop of Hereford: essays in his honour. Hereford: Friends of Hereford Cathedral. ISBN 0904642046.
  • Tavinor, Michael; Bass, Ian (2020). Thomas de Cantilupe – 700 Years a Saint: St Thomas of Hereford. Eardisley: Logaston Press. ISBN 978-1-910839-41-6.
  • Walsh, Michael (2007), A New Dictionary of Saints: East and West, Burns & Oates, ISBN 0-86012-438-X

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.