Mamlaka ya Weusi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mamlaka ya watu weusi)

Mamlaka ya Weusi (kwa Kiingereza: Black supremacy au black supremacism) ni itikadi ambayo imejikita katika imani ya kumwezesha au kumhamasisha watu weusi kuwa juu na bora zaidi ya watu wa rangi nyingine hivi kwamba watu weusi waweze kuwashinda watu ambao sio weusi katika nyanja zote yaani uchumi, siasa na jamii.

Kwa baadhi ya wataalamu hilo ni kundi la chuki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]