Lorenzo Ruiz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Laurenti Ruiz)
Mchoro wa Kijapani ukiwaonyesha Wafiadini wa Nagasaki, karne ya 16 na ya 17.

Lorenzo Ruiz (Binondo, Manila, Ufilipino 1600 hivi – Nagasaki, Japani 29 Septemba 1637),[1] ni Mfilipino[2] wa kwanza kutangazwa mtakatifu na Kanisa Katoliki[3].

Mlei huyo alifia dini ya Ukristo kisha kukataa kuhama Japani na kukana imani yake wakati wa dhuluma za watawala wa Edo (leo Tokyo) kutoka ukoo wa Tokugawa katika karne ya 17.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mfiadini mwenye heri tarehe 18 Februari 1981, halafu mtakatifu tarehe 18 Oktoba 1987.

Pamoja naye walitangazwa watakatifu na wanaheshimiwa kama wafiadini wa Japani (1633–1637):[4][5][6]

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 28 Septemba[7].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Carunungan, Celso Al. To Die a Thousand Deaths: A Novel on the Life and Times of Lorenzo Ruiz, Social Studies Publications, Metro Manila, Philippines, 1980, 198 pages and Amazon.co.uk
  • Delgado, Antonio C. The Making of The First Filipino Saint, The Ala-Ala Foundation, 1982
  • Lorenzo de Manila, The Proto-Martyr of The Philippines and his Companions - Fr. Fidel Villarroel, O.P., 1988
  • Alvares, Constantino (1989). Witnesses of the faith in the Orient: Dominican Martyrs of Japan, China, and Vietnam. Manila: Life Today Publications. ISBN 971-8596-03-8. OCLC 32442371. {{cite book}}: Unknown parameter |coauthors= ignored (|author= suggested) (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.