Khitini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Chitini)
Kichwa na kifua cha kipepeo hufunkikwa kwa mabapa ya khitini ngumu; tumbo hufunkiwa kwa ganda nyembamba ya khitini ambayo ni laini kiasi. Mabwawa wake ni pia ngozi nyembamba zaidi ya khitini.
Kila kinachonekana cha nzige ni khitini

Khitini (ing. chitin, kutoka gir. χιτών khiton "ganda, kinga") ni dutu ngumu nusu angavu inayofanya kiunzi nje ya wadudu na arithropodi wengine.

Inapatikana pia katika kuta ya seli za fungi.

Kikemia ni aina ya polisakaridi yaani molekuli ndefu ya kabohidrati ya (C8H13O5N)n.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Other websites[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Horseshoe Crab Chitin Research Archived 26 Juni 2009 at the Wayback Machine.
  • Information about Chitin (Heppe Medical Chitosan)
  • Martín-Gil FJ, Leal JA, Gómez-Miranda B, Martín-Gil J, Prieto A, Ramos-Sánchez MC (1992). "Low temperature thermal behaviour of chitins and chitin-glucans". Thermochim. Acta. 211: 241–254. doi:10.1016/0040-6031(92)87023-4.{{cite journal}}: CS1 maint: multiple names: authors list (link)