Yosefu wa Kopertino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yosefu wa Copertino Picha kutoka kitabu cha Paul Guerrin, "Les Petites Bollandistes: Vies de Saints," 1882.
Mt. Yosefu hewani katika mchoro wa Ludovico Mazzanti (karne ya 18).

Yosefu wa Kopertino (Copertino 17 Juni 1603Osimo 18 Septemba 1663) alikuwa padri wa utawa wa Ndugu Wadogo Wakonventuali.

Mtu wa sala hasa, alijaliwa karama za pekee, hasa ile ya kuelea hewani kwa muda mrefu wakati wa kutoka nje ya nafsi.

Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri tarehe 24 Februari 1753, halafu Papa Klement XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 16 Julai 1767.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • "Saint Joseph Copertino," Father Angelo Pastrovicchi, O.M.C., TAN Books and Publishers, 1980, ISBN 0-89555-135-7

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.