Wyclef Jean

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Wyclef Jean
Wyclef Jean akitumbuiza katika tamasha la UNAIDS.
Wyclef Jean akitumbuiza katika tamasha la UNAIDS.
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Neluset Wyclef Jean
Pia anajulikana kama Wyclef
Amezaliwa 17 Oktoba 1972 (1972-10-17) (umri 39)
Croix-des-Bouquets, Haiti
Asili yake Newark, New Jersey, United States
Aina ya muziki Hip hop, reggae, kompa, R&B, Muziki wa asili
Kazi yake Mwanamuziki, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji, mwigizaji
Ala Sauti, gitaa, piano, ngoma
Miaka ya kazi 1987–hadi leo
Studio Ruffhouse, Columbia, J, Koch
Ameshirikiana na The Fugees
Tovuti www.wyclef.com

Nelust Wyclef Jean (amezaliwa tar. 17 Oktoba, 1972) ni mwanamuziki, mwigizaji, mtayarishaji wa Kihaiti-Kiamerika. Pia anafahamika kwa kuwa kama mwanachama wa kundi la muziki wa hip hop la The Fugees.

Yaliyomo

[hariri] Wasifu

[hariri] Maisha ya awali (kwa ufupi)

Jean alizaliwa kama Nelust Wyclef Jean, mjini Croix-des-Bouquets, Haiti, alipewa jina la Wyclef Jean na baba yake mlezi, mchungaji aliyebadilisha jina lake baada ya kuitwa John Wycliffe[1]. Alihama yeye na familia yake na kuelekea zao mjini Brooklyn, New York akiwa na umri wa miaka tisa, na kisha baadaye kuelekea zao New Jersey.

[hariri] Muziki

Makala kuu ya: Albamu za Wyclef Jean

[hariri] Marejeo

[hariri] Viungo vya nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine