Wyclef Jean

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wyclef Jean
Wyclef Jean akitumbuiza mnamo 2008
Wyclef Jean akitumbuiza mnamo 2008
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Neluset Wyclef Jean
Pia anajulikana kama Wyclef
Amezaliwa 17 Oktoba 1972 (1972-10-17) (umri 51)
Croix-des-Bouquets, Haiti
Asili yake Newark, New Jersey, United States
Aina ya muziki Hip hop, reggae, kompa, R&B, Muziki wa asili
Kazi yake Mwanamuziki, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji, mwigizaji
Ala Sauti, gitaa, piano, ngoma
Miaka ya kazi 1987–hadi leo
Studio Ruffhouse, Columbia, J, Koch
Ame/Wameshirikiana na The Fugees
Tovuti www.wyclef.com

Nelust Wyclef Jean (amezaliwa tar. 17 Oktoba 1972) ni mwanamuziki, mwigizaji, mtayarishaji wa Kihaiti-Kiamerika. Pia anafahamika kwa kuwa kama mwanachama wa kundi la muziki wa hip hop la The Fugees.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Maisha ya awali (kwa ufupi)[hariri | hariri chanzo]

Jean alizaliwa kama Nelust Wyclef Jean, mjini Croix-des-Bouquets, Haiti, alipewa jina la Wyclef Jean na baba yake mlezi, mchungaji aliyebadilisha jina lake baada ya kuitwa John Wycliffe[1]. Alihama yeye na familia yake na kuelekea zao mjini Brooklyn, New York akiwa na umri wa miaka tisa, na kisha baadaye kuelekea zao New Jersey.

Muziki[hariri | hariri chanzo]

Makala kuu ya: Albamu za Wyclef Jean

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Yéle.org. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-04-04. Iliwekwa mnamo 2008-09-09.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: