Wizara ya Nishati na Madini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wizara ya Nishati na Madini (Kiingereza: Ministry of Energy and Minerals kifupi (MEM)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo [hariri]
Tazama pia [hariri]
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |