Wizara ya Nishati na Madini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wizara ya Nishati na Madini
English: Ministry of Energy and Minerals
MamlakaTanzania
Makao MakuuSamora Avenue, Dar es Salaam
WaziriSospeter Muhongo
Naibu WaziriStephen Masele
Katibu MkuuEliachim Maswi
Tovutimem.go.tz

Wizara ya Nishati na Madini (kwa Kiingereza: Ministry of Energy and Minerals; kifupi (MEM)) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.

Ofisi kuu za wizara hii zilikuwa jijini Dar es Salaam.

Tarehe 7 Oktoba 2017 John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa awamu ya tano, aliivunja wizara hii na kuifanya kuwa wizara mbili tofauti: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini, na tarehe 9 Oktoba 2017 aliweza kuwaapisha rasmi mawaziri na naibu mawaziri wa wizara hizo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]