Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (Kiingereza: Ministry of Community Development, Gender and Children kifupi (MCDGC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi Archived 15 Julai 2009 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |