Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto (Kiingereza: Ministry of Community Development, Gender and Children kifupi (MCDGC)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Marejeo [hariri]
Tazama pia [hariri]
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |