William Speirs Bruce

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
William Speirs Bruce

William Speirs Bruce (1 Agosti 1867 - 28 Oktoba 1921) alikuwa mpelelezi kutoka Uskoti.

Alizaliwa mjini London. Miaka ya 19021904 alisafiri Antaktiki.

Aliaga dunia alipokuwa na umri wa miaka 54.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu William Speirs Bruce kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.