William Faulkner
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
William Faulkner (25 Septemba, 1897 – 6 Julai, 1962) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1949 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu William Faulkner kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |