Wilaya ya Handeni Vijijini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Wilaya ya Handei katika Tanzania (kijani cheusi)

Handeni Vijijini ni moja kati ya wilaya 10 za Mkoa wa Tanga katika pwani ya Tanzania.

Makao makuu ya wilaya yako Handeni mjini.

Mwaka 2012 ilikuwa na wakazi 276,646 [1] walioishi katika kata 20 za wilaya.

Mwaka 2012 eneo la mji wa Handeni ilitengwa na wilaya kuwa wilaya ya pekee.


Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Sensa ya 2012, Tanga - Handeni DC[dead link]
Kata za Wilaya ya Handeni Vijijini - Mkoa wa Tanga - Tanzania

Kabuku | Kabuku Ndani | Kang'ata | Kitumbi | Kiva | Komkonga | Kwachaga | Kwaluguru | Kwamatuku | Kwamgwe | Kwamsisi | Kwankonje | Kwasunga | Kwedizinga | Mazingara | Mgambo | Misima | Mkata | Ndolwa | Segera | Sindeni

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Handeni Vijijini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.