Waroma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Waroma ni wakazi wa mji wa Roma katika chi ya Italia.

Kwa maana ya kihistoria Waroma ni watu wa Dola la Roma liliotawala eneo kubwa katika Ulaya, Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi takriban karne ya kwanza hadi ya tano BK. Kiasili ndio watu wa mji wa Roma na mazingira yake tu, lakini baadaye sehemu kubwa ya wakazi wote wa dola wamekuwa raia wakiitwa Waroma.

Disambig.svg
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa