Waorthodoksi wa Mashariki
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Waorthodoksi wa mashariki)
Waorthodoksi wa Mashariki ni jina linalotumika pengine kuhusu waamini wa Makanisa ya Mashariki ambayo katika karne ya 5 yalitengana na Wakatoliki na Waorthodoksi kwa kutokubali uamuzi wa mojawapo kati ya Mitaguso ya kiekumeni.
Makanisa hayo ni ya kitaifa, kama vile: