Walther Nernst

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Walther Nernst
Walther Nernst

Walther Hermann Nernst (25 Juni, 186418 Novemba, 1941) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Ujerumani. Aliongeza utafiti wa kemia kwa jumla. Mwaka wa 1920 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Walther Nernst" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Walther Nernst kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi