Walther Bothe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Walther Wilhelm Georg Bothe (8 Januari, 18918 Februari, 1957) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa kuvumbua njia mpya ya kutambua vijipande vya atomu. Mwaka wa 1954, pamoja na Max Born alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Walther Bothe" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Walther Bothe kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi