Orodha ya Marais wa Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wakuu wa Nchi ya Kenya)
Bendera ya Rais ya Uhuru Kenyatta
Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Ukarasa huu una orodha ya marais wa Kenya:

Orodha ya wakuu wa serikali ya Kenya[hariri | hariri chanzo]

Jamhuri ya Kenya (1964 - hadi leo)[hariri | hariri chanzo]

Jubilee Alliance
( #F5051c)
NARC/PNU
( #0000CD)
KANU
( #2BAE45)


# Picha Jina Muda Mwaka wa Uchaguzi/Asilimia ya wapiga kura
1 Jomo Kenyatta
(1893 – 1978)
12 Desemba
1964
6 Desemba
1969
1964
6 Desemba
1969
14 Octoba
1974
1969 — Hakupingwa
14 Octoba
1974
22 Agosti
1978 (Alifariki akiwa Rais)
1974 — Hakupingwa
Katika muda huu, Makamu wa Rais Daniel Arap Moi alikuwa anasimamia Cheo/Kiti cha Rais.
2 Daniel Arap Moi
(1924 – 2020)
8 Novemba
1979
26 Septemba
1983
1979 — Hakupingwa [1]
26 Septemba
1983
21 Machi
1988
1983 — Hakupingwa [2]
21 Machi
1988
29 Desemba
1992
1988 — Hakupingwa [3]
Chama zote ziliwezeshwa kupingana katika Uchaguzi wa 1992
(2) Daniel Arap Moi
(1924 – 2020)
29 Desemba
1992
29 Desemba
1997
1992 — 36.4%
29 Desemba
1997
29 Desemba
2002
1997 — 40.6%
3 Mwai Kibaki
(1931– 2022)
29 Desemba
2002
29 Desemba
2007
2002 — 61.3%
30 Desemba
2007
3 Aprili
2013
2007 — Haijulikani %
4 Uhuru Kenyatta
(1961– )
4 Aprili
2013
2017 2013 — 50.07%
6,158,610
25 Novemba
2017

2022
Uchaguzi wa Urais uliorudiwa Oktoba 2017 — 98.26 %

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]