Kanisa la Wakaldayo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wakaldayo)
Patriarki mstaafu, kardinali Emmanuel III Delly.
Hii ni sehemu ya mfululizo kuhusu
Kanisa Katoliki
Imani

Umoja wa Mungu
Utatu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu)
Umwilisho Maisha ya Yesu
Msalaba Ufufuko Kupaa
Historia ya Wokovu Ufunuo
Biblia Mapokeo Ualimu Dogma
Neema Dhambi Wokovu Sakramenti
Watakatifu Bikira Maria

Muundo

Papa: Fransisko
Urika wa maaskofu Mitaguso mikuu
Kundi la Makardinali
Kanisa la Kilatini
Makanisa Katoliki ya Mashariki

Historia

Historia Ukristo
Ukatoliki Mlolongo wa Kitume
Sifa nne za Kanisa Utetezi Ekumeni
Maisha ya kiroho Amri Kumi Utawa
Sala Falsafa Teolojia
Muziki Sanaa Sayansi

Ibada

Liturujia Mwaka wa Kanisa
Ekaristi Liturujia ya Vipindi

Mapokeo ya liturujia

Liturujia ya Kilatini (Roma Liturujia ya Trento Milano Toledo Braga Lyon Canterbury)
Liturujia ya Armenia Liturujia ya Misri
Liturujia ya Ugiriki Liturujia ya Antiokia
Liturujia ya Mesopotamia

Kanisa Katoliki la Wakaldayo (kwa Kiaramu ܥܕܬܐ ܟܠܕܝܬܐ ܩܬܘܠܝܩܝܬܐ , ʿītha kaldetha qāthuliqetha) ni mojawapo kati ya Makanisa Katoliki ya Mashariki, likifuata mapokeo ya Mesopotamia na kutumia liturujia ya Mesopotamia[1].

Idadi ya waamini leo ni zaidi ya 600,000[2] [3], wengi wao wakiwa wenyeji wa Mesopotamia.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Kanisa hilo linachanga historia moja na Kanisa la Asiria hasa hadi mwaka 1552, lilipotokea farakano kati yao, huku waliojiita Wakaldayo wakiungana na Kanisa Katoliki kama walivyotangulia kufanya wenzao kadhaa wa Cyprus mwaka 1445[4]

Muundo[hariri | hariri chanzo]

Kanisa hilo linaongozwa na Patriarki wa Baghdad, Iraki, kwa sasa Louis Raphaël I Sako (kwa Kisiria: ܠܘܝܣ ܪܘܦܐܝܠ ܩܕܡܝܐ ܣܟܘ) aliyezaliwa tarehe 4 Julai 1948 na anayeishi Baghdad.[5]

Chini yake kuna majimbo katika nchi hiyo (250,000 waamini), katika nchi nyingine za Mashariki ya Kati (Iran, Siria, Uturuki, Lebanon na Misri) na kwenye mtawanyiko uliotokana na waamini kuhama kwa sababu ya hali ngumu hasa ya vita na dhuluma: Marekani, Kanada, Australia na New Zealand n.k.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. TQ & A on the Reformed Chaldean Mass. Jalada kutoka ya awali juu ya 2009-01-02. Iliwekwa mnamo 2009-02-07.
  2. Ronald Roberson. The Eastern Catholic Churches 2010. Catholic Near East Welfare Association. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-09-23. Iliwekwa mnamo Desemba 2010. Information sourced from Annuario Pontificio 2010 edition
  3. CNEWA - Chaldean Catholic Church. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-03-16. Iliwekwa mnamo 2012-10-16.
  4. Council of Florence, Bull of union with the Chaldeans and the Maronites of Cyprus Session 14, 7 Agosti 1445 [1]
  5. AP. Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-06-09. Iliwekwa mnamo 2012-10-16.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kanisa la Wakaldayo kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.