Victoria Beckham

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Victoria Beckham
Victoria Beckham akitumbuiza katika sherehe za Spice Girls huko mjini Las Vegas, Nevada.
Victoria Beckham akitumbuiza katika sherehe za Spice Girls huko mjini Las Vegas, Nevada.
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Victoria Caroline Adams
Amezaliwa 17 Aprili 1974 (1974-04-17) (umri 38)
Goffs Oak, Hertfordshire, Uingereza
Aina ya muziki Pop
Kazi yake Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, msanifu wa mavazi, mfanyabiashara
Miaka ya kazi 1994-mpaka sasa
Studio Virgin, 19, Telstar
Ameshirikiana na Spice Girls

Victoria Caroline Beckham (amezaliwa tar. 17 Aprili, 1974) ni mwimbaji na msanifu mavazi kutoka nchini Uingereza. Anafahamika sana kwa kuwa kama mmoja kati ya wanakundi la wasichana waimbao muziki wa pop la Spice Girls. Pia, anafahamika zaidi kwa vile kaolewa na mchezaji soka la kulipwa huko nchini Uingereza - David Beckham, ambaye pia mwanasoka mashuhuri kabisa. Jina lake la utani ni Posh Spice, kwa sababu anapenda kuvaa nguo zinazimpendezesha kwake.

[hariri] Viungo vya Nje


Musical notes.svg Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Uingereza bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Victoria Beckham kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine