Victoria (Shelisheli)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Victoria
Nchi Shelisheli
Mji wa Victoria
Mbele: mfano mdogo wa mnara wa "Big Ben" wa London katika mji wa Victoria; nyuma jengo la wizara ya sheria

Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702.

Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.