Utanzu
Kutoka Wikipedia
Utanzu ni aina fulani ya kazi ya fasihi.
Tanzu kuu za fasihi andishi ni riwaya, tamthiliya, shairi, insha, novela na hadithi fupi.
[hariri] Marejeo
Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.
| Makala hiyo kuhusu "Utanzu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Utanzu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |

