Utanzu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Utanzu (yaani tawi) ni aina fulani ya kazi ya fasihi.

Tanzu kuu za fasihi andishi ni: riwaya, tamthiliya, shairi, insha, novela na hadithi fupi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Utanzu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.