Uswahilini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uswahilini ni jina kwa nchi ya "Waswahili" yaani eneo kwenye pwani la Afrika ya Mashariki ambako lugha ya Kiswahili inatumiwa na desturi pia utamaduni ya watu vinaonyesha tabia jinsi zilivyo kawaida kati ya Waswahili.