Usiku kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mashangilio ya usiku kati ulioingiza mwaka mpya 2007 (Sydney, Australia, 1 Januari 2007).

Usiku kati ni nukta inayotenganisha siku moja na nyingine katika hesabu ya binadamu.

Inatokea kila baada ya saa 24.

Kwa namna ya pekee inaadhimishwa pale inapotenganisha siku ya mwisho ya mwaka, karne au milenia na ile ambayo ni mwanzo wa mwaka, karne au milenia nyingine.

Alfajiri huko Taritari, Nueva Esparta, Venezuela Vipindi vya siku Kutwa huko Knysna, Afrika Kusini

UsikuUsiku katiUsiku wa mananeAlfajiriPambazukoAsubuhiAdhuhuriMchanaAlasiriJioniMachweo