Mtumiaji:Black Leopard F.C Under20
Jina la utani | chui weusi |
---|---|
Uwanja | Tanganyika Parkers |
Mwenyekiti | Samwel Yellah Black |
Kocha | Samwel Yellah Black |
Black Leopard Football Club Under20 ni timu ya kandanda ya vijana ilioanzishwa mnamo mwaka 2014 Desemba 4 mjini mbeya katika jiji la Mbalizi nchini Tanzania.
Wachezaji[hariri | hariri chanzo]
Historia[hariri | hariri chanzo]
Black Leopard ni timu ya vijana ilioanzishwa mnamo mwaka 2014 na vijana wa mbalizi Black Leopard ilimpata kocha mwaka 2015 ambaye ni Samwel Yellah Black.
viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
kuhusu Black leopard under20 katika tovuti ya facebook