Useja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
"Mt. Makari wa Misri na Kerubi" kutoka Monasteri ya Mt. Katerina, Sinai, Sinai, Misri.

Useja ni hali ya mtu kuishi bila ndoa. Inaweza kutokea kwa sababu mbalimbali, lakini inazingatiwa hasa ile inayotokana na uamuzi kamili wa mhusika asiye na kizuio chochote, hasa kama akichagua kuishi hivyo kwa sababu ya kidini.

Kesi za namna hiyo zimepatikana katika dini karibu zote.

Ni maarufu hasa neno la Yesu katika kutetea wanaofanya hivyo kwa ajili ya Mungu, yeye akiwa mmojawapo (Math 19:11-12).

Katika Ukristo hali ya namna hiyo inaitwa pengine useja mtakatifu na ni msingi wa utawa wa aina yoyote.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.