Umoja wa Mungu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Umoja wa Mungu ni hoja iliyotetewa na falsafa na imani ya dini mbalimbali, ya kwamba kuna Mungu mmoja tu, ambaye ni mkuu kabisa kuliko vitu vyote na ni nafsi[1][2]

Mbali na wanafalsafa kama vile wale wa Shule ya Athene (Sokrates, Plato na Aristotle), imani hiyo ilishikwa toka zamani na dini kama vile Atenism, Baha'i, Cao Dai, Cheondoism (Cheondogyo), Deism, Eckankar, Kalasinga, Rastafari, Tenrikyo, Uislamu, Ukristo, Uyahudi na Uzoroastro.[3]

Kutokana hasa na wingi wa waumini wa Ukristo na Uislamu, siku hizi zaidi ya nusu ya binadamu wote wanakiri umoja huo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Cross, F.L.; Livingstone, E.A., eds. (1974). "Monotheism". The Oxford Dictionary of the Christian Church (2 ed.). Oxford: Oxford University Press.
  2. Encyclopædia Britannica Online, art. "Monotheism" Accessed 23 January 2013, http://www.britannica.com/EBchecked/topic/390101/monotheism
  3. *Zoroastrian Studies: The Iranian Religion and Various Monographs, 1928 - Page 31, A. V. Williams Jackson - 2003
    • Global Institutions of Religion: Ancient Movers, Modern Shakers - Page 88, Katherine Marshall - 2013
    • Ethnic Groups of South Asia and the Pacific: An Encyclopedia - Page 348, James B. Minahan - 2012
    • Introduction To Sikhism - Page 15, Gobind Singh Mansukhani - 1993
    • The Popular Encyclopedia of World Religions - Page 95, Richard Wolff - 2007
    • Focus: Arrogance and Greed, America's Cancer - Page 102, Jim Gray - 2012
    • monotheism 2012. Encyclopædia Britannica Online. Retrieved 12 January 2012, from http://www.britannica.com/EBchecked/topic/390101/monotheism