Ulus, Bartın

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Ulus, Bartın

Ulus ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Bartın kwenye kanda ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki. Mji bado unaendeleza koloni za Ugiriki ya Kale ya Olous (Ωλους).

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ulus, Bartın kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.