Uhalisia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uhalisia (kutoka Kiarabu "halisi"; kwa Kiingereza Reality) ni hali iliyopo kweli, tofauti na matarajio au tafsiri za binadamu ambaye mara nyingi anashindwa kuipokea.[1]

Kwa upana zaidi, uhalisia unajumlisha hata mambo yasiyofikiwa na milango ya fahamu, vifaa na mawazo ya binadamu.

Wanafalsafa, wanahisabati, wanasayansi na wengineo wamejitahidi tangu zamani kuelewa uhalisia, wakitoa majibu mbalimbali.

Mara nyingi uhalisia unagonganishwa na ndoto na ndoto za mchana, maigizo na propaganda, pamoja na uongo wa kila namna.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Compact Oxford English Dictionary of Current English, Oxford University Press, 2005. (Full entry for reality: "reality • noun (pl. realities) 1 the state of things as they actually exist, as opposed to an idealistic or notional idea of them. 2 a thing that is actually experienced or seen. 3 the quality of being lifelike. 4 the state or quality of having existence or substance.")

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: