Uhaini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uhaini ni pale mtu anapotenda jambo dhidi ya nchi yake. Kwa mfano, mtu anaweza kuisaidia nchi nyingine ipigane vita dhidi ya nchi yake kwa kuwaambia habari za siri. Uhaini ni neno la kawaida, lakini nchi tofauti zina sheria tofauti na adhabu dhidi ya matendo ya kihaini.
Neno la mtu anayefanya uhaini ni msaliti. Miongoni mwa wasaliti maarufu duniani ni pamoja na Yuda, Benedict Arnold, Pétain na Quisling.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |