Ufalme wa Maungano ya Britania na Eire ya Kaskazini

Kutoka Wikipedia

(Elekezwa kutoka Ufalme wa Maungano)

Ufalme wa Maungano ya Britania na Eire ya Kaskazini (Kiing.: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland); kifupi "Ufalme wa Maungano" Kiing.: United Kingdom) ni nchi ya Ulaya ya kaskazini-magharibi. Mara nyingi huitwa kwa Kiswahili "Uingereza" tu ingawa nchi ya Uingereza ni moja tu kati ya sehemu za ufalme huu pamoja na Uskoti, Welisi na Eire ya Kaskazini.

[hariri] Maungano na utawala

Bendera Nchi Hali Wakazi Vitengo Miji
Uingereza Ufalme 50,431,700

Mikoa
Wilaya

Miji ya Uingereza
Uskoti Ufalme 5,094,800

Wilaya

Miji ya Uskoti
Welisi Utemi 2,958,600

Wilaya

Miji ya Welisi
Eire ya Kaskazini Jimbo 1,724,400

Wilaya

Miji ya Eire ya Kaskazini
Image:WikiLettreMini.png Makala hiyo kuhusu "Ufalme wa Maungano ya Britania na Eire ya Kaskazini" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ufalme wa Maungano ya Britania na Eire ya Kaskazini kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi
Lugha nyingine