Tunguridi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tunguridi
Tunguridi mabawa-kijani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu: Passeroidea (Ndege kama shomoro)
Familia: Estrildidae (Ndege walio na mnasaba na mishigi)
Jenasi: Pytilia
Swainson, 1837
Spishi: P. afra (Gmelin, 1789)

P. hypogrammica Sharpe, 1870
P. lineata Heuglin, 1863
P. melba (Linnaeus, 1758)
P. phoenicoptera Swainson, 1837

Tunguridi ni ndege wadogo wa jenasi Pytilia katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika tu. Wanafana na mishigi na wana rangi mbalimbali kama nyekundu, machungwa, njano na/au kijani. Hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 3-4.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]