Ngedere

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Tumbili)
Ngedere
Ngedere mashariki (Chlorocebus pygerythrus)
Ngedere mashariki (Chlorocebus pygerythrus)
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Cercopithecoidea
Familia: Cercopithecidae (Wanyama walio na mnasaba na kima)
Nusufamilia: Cercopithecinae (Wanyama wanaofanana na kima)
Kabila: Cercopithecini (Kima)
Jenasi: Chlorocebus (Ngedere)
Gray, 1870
Ngazi za chini

Spishi 6:

Ngedere au tumbili ni aina za kima wa jenasi Chlorocebus katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara, lakini spishi kadhaa zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.