Timotheo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Timotheo, mmoja kati ya maaskofu wa kwanza, alivyochorwa katika Nuremberg chronicles f 109v(1493).
Picha takatifu ya Kiorthodoksi.

Timotheo (labda Listra, 17 hivi - Efeso, 97) ni mfuasi mpendwa wa Mtume Paulo, halafu mwandamizi wake.

Anaheshimiwa kama askofu mtakatifu na Kanisa Katoliki hasa tarehe 26 Januari[1] na Waorthodoksi tarehe 22 Januari.

Paulo alimuandikia barua mbili zilizopokewa katika Biblia kati ya Nyaraka za Kichungaji. Habari zake tunazipata humo na katika Matendo ya Mitume

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Timotheo kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. Martyrologium Romanum