Tauragė
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tauragė (Kijerumani: Tauroggen; Kipoland: Taurogi; Kiyiddish: טאווריק/Tovrik) ni mji nchini Lituanya. Kuna wakazi 28,504 (mwaka 2005).
Jiografia [hariri]
Eneo lake ni 15,7 km².
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hiyo kuhusu "Tauragė" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Lituanya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tauragė kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |