Taunus
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Taunus ni eneo la milima katika jimbo la Hessen la Ujerumani kusini magharibi. Mlima mkubwa ni Großer Feldberg mwenye kimo cha mita 882m.
Taunus ni eneo la milima katika jimbo la Hessen la Ujerumani kusini magharibi. Mlima mkubwa ni Großer Feldberg mwenye kimo cha mita 882m.