Tabata
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tabata ni kitongoji katika jiji la Dar es Salaam, Tanzania. Kitongoji cha Tabata kipo katika wilaya ya Ilala, Kata ya Segerea katika Tarafa ya Ukonga
| Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tabata kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |