Supamaketi za Uchumi
|
|
Makala hii au sehemu ya makala hii inatumia lugha inayohitaji masahihisho kwa upande mmoja wa zifuatazo:
|
| Ilipoanzishwa | 1975 |
|---|---|
| Makao Makuu | Nairobi |
| Tovuti | [1] |
Supamaketi za Uchumi ni mtandao wa supamaketi hapa Kenya ulioanzishwa mwaka wa 1975 na uliorodheshwa katika soko la hisa la Nairobi katika mwaka wa 1992. [1]
Yaliyomo |
Kufungwa na kufunguliwa tena[hariri]
Uchumi ilifungwa, kwa muda, katika mwezi wa Juni 2006 baada ya miaka 30 ya biashara. [2] Wakati huo kufungwa kwake kulionekana kama msiba mkubwa zaidi uliokumba biashara katika historia ya Kenya. [3] Baadaye serikali ilianzisha mpango wa kuiokoa na hapo basi vituo tano vya Uchumi vikafunguliwa tena tarehe 15 Julai 2006 vyote vikiwa katika Nairobi.
Hivi Sasa[hariri]
Wakati wa Januari 2011 Uchumi imeendesha maduka 17 nchini Kenya na 1 nchini Uganda. Duka jipya linapangwa kufungua mjini Daressalaam mwaka 2011, nyingine katika miaka ijayo huko Juba, Sudan Kusini. [4] Kampuni ina wenye hisa 12,000 wanaosubiri kurudishwa kwa kampun kwenye soko la hisa la Nairobi.[5]
Angalia pia[hariri]
- Nakumatt, mshindani wa Uchumi nchini Kenya
Viungo vya nje[hariri]
Marejeo[hariri]
</references>Kigezo:Retail-stub
Cite error: <ref> tags exist, but no <references/> tag was found