Sudan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Sudani)
Rukia: urambazaji, tafuta
جمهورية السودان
Jumhuriyat as-Sudan

Republic of the Sudan
Bendera ya Sudan Nembo ya Sudan
Bendera Nembo
Wito la taifa: Al-Nasr Lana (Kiarabu: Ushindi ni Wetu)
Wimbo wa taifa: نحن جند للہ جند الوطن Nahnu Jund Allah Jund Al-watan ("Sisi ni Jeshi ya Mungu na Nchi yetu")
Lokeshen ya Sudan
Mji mkuu Khartoum
15°00′ N 30°00′ E
Mji mkubwa nchini Omdurman
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali
Rais

Omar al-Bashir
Uhuru
 - Tarehe
Kutoka Misri na Uingereza
Januari 1, 1956
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,886,068 km² (ya 16)
5%
Idadi ya watu
 - Julai 2006 kadirio
 - 1993 sensa
 - Msongamano wa watu
 
36,992,490 (ya 40)
31,894,000
16.4/km² (195)
Fedha Dinar (SDD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MSK (UTC+3)
not observed (UTC+3)
Intaneti TLD .sd
Kodi ya simu +249
Alama ya kimataifa ya magari {{{vehicle_code}}}


Ramani ya Sudan ikionyesha majimbo yake

Jamhuri ya Sudan, ama Sudan ni nchi kubwa ya tatu ya Afrika kulingana na eneo. Kijiografia nchi hii huhesabiwa kama sehemu ya Afrika ya Kaskazini. Mji mkuu ni Khartoum. Imepakana na Misri kaskazini, Bahari ya Shamu kaskazini-mashariki, Eritrea na Ethiopia mashariki, Sudan Kusini kusini-mashariki, Afrika ya Kati na Chadi magharibi, na Libya kaskazini-magharibi.

Majimbo ya Sudan Kusini yalikuwa sehemu ya nchi hiyo lakini yalipiga kura ya kujitenga yakapata kuwa nchi huru kuanzia tarehe 9 Julai 2011.

Sanamu ya Mfalme wa Wanubi, Sudan
Aliyekuwa makamu wa Rais John Garang, ambaye aliongoza wanamgambo wa Sudan ya Kusini kupigania uhuru wa majimbo ya kusini.

Yaliyomo

[hariri] Maeneo ya Sudan

Ramani ya siasa ya Sudan kabla ya Sudan Kusini kujitenga.

[hariri] Majimbo




[hariri] Madaraka, Kujigawa, na Vita

Makabila ya kusini yalipigania vita ndefu hadi kupata uhuru.

Darfur ni eneo yenye majimbo matatu ambaye imeathiriwa na vita vya kisiasa, vita vya Darfur.

Pia kuna wanamgambo upande wa mashariki Umbele wa Mashariki.

[hariri] Jiografia

Mlima wa Dair eneo ya kati, Sudan
bwawa kusini Sudan

Sudan iko upande wa Afrika ya kaskazini, imepakana na bahari ya Shamu kati ya Misri na Eritrea. Imetamalikiwa zaidi na mto Nile na mikono yake.

Kwa eneo ya mraba kilomita 1,886,068 (728,215 sq mi), ni nchi ya tatu kwa ukubwa katika bara Afrika na ya kumi na sita duniani. Ardhi yenyewe ni kiwara, lakini kuna milima upande wa mashariki na magharibi. Hali ya anga ni ya mwangaza kusini, na mikuranga kaskazini. Mvua yapatikana mwezi wa Aprili na Oktoba. Kudhoofika kwa mazingira hasa ni kwa sababu ya mmomonyoko wa udongo na utapakazi wa jangwa.

Ona pia: Orodha ya miji Sudan

[hariri] Uchumi

[hariri] Watu na makabila

Kadiri ya sensa za mwaka 1993, wakazi walihesabiwa kuwa milioni 26. Hakuna sensa nyingine iliyofanywa kutoka mwaka huo kwa sababu ya Vita vya wenyewe kwa wenyewe. Umma hasa wakadiriwa na kitabu cha wadadisi wa Marekani kuwa milioni 39 mwaka 2004.

Umma wa miji kama Khartoum (na pia Khartoum, Omdurman, na Khartoum ya kaskazini) waongezeka zaidi, umma wa miji hii yakadiriwa milionI 6-7 na wengine wahamiaji milioni 2 ambao wamekimbia vita vya kusini, magharibi, mashariki na pia wengine kwa sababu ya ukame.

Sudan ina aina mbili za utamaduni — Waafrika walio na Uarabu na Waafrika wasio Waarabu — na maelfu ya kabila na migao ya kabila, lugha tofautitofauti kwa makundi au kabila – migawanyiko hii uleta siasa za utengo na ubaguzi.

Majimbo ya Kaskazini hasa ndio kubwa nchini Sudan, na pia miji mikubwa hiko kwa majimbo haya. Zaidi ya milioni 22 wanaoishi kwa majimbo haya na eneo hizi za kaskazini ni Waislamu-Waarabu na wanao ongea kiarabu lakini wengi pia huongea lugha za mama hasa kama Ki-nubi, Ki-beja, Ki-fur, Ki-nuban, Ki-ingessana, kwa kikundi hiki kunawale wavutia zaidi kama: Wa-Kababish kutoka kaskazini Kordofan, Watu hawa wanaolea ngamiaa; Ga’alin (الجعلين), Rubatab (الرباطاب), Manasir (المناصير) and Shaiqiyah (الشايقيّة) makabila ambao kikao chao ni karibu na mito ni kama; Baggara wa Kurdufan na Darfur; Wakiham Beja eneo ya bahari la sham na Wanubi wa kaskazini Nile, ambao wengine kahamishwa karibu na mto Atbara. Eneo ya Shokrya kwa Wa-butana, Wa-bataheen wame pakana na Wa-ga’alin na Wa-shorya, upande wa kusini-magharibi eneo ya Butana.in the south west of Butana. Pia kuna Wa-rufaa, Wa-halaween na kabila nyingi zingine eneo ya Gazeera na kwa ufuo wa Bluu Nile na eneo ya Dindir. Hata pia Wa-nubi kusini mwa Eneo yaKurdufan na Wa-fur upande wa magharibi..

[hariri] Watu wa Sudan

(zaidi, eneo ambazo zime chapika)

  • Nyingine zaidi

[hariri] Utamaduni

[hariri] Dini

Dini kubwa zaidi ni Uislamu (97%).

Wakristo ni waumini hasa wa Kanisa Katoliki, Anglikana Kanisa ya Sudan, Wapresbiteriani na Wakopti wa Sudan.

[hariri] Elimu

Vyuo Vikuu vya Sudan:

[hariri] Ona pia

[hariri] Vifungu Kiwazowazo

[hariri] Viungo via Nje

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Maarifa ya Kawaida

<!—Tafadhali usiweke maadishi au kifungu kuhusu biashara hapa, kwa mfano; vitabu vya Sudan --> <!—Ukiweka maadishi hayo, waweza KUFUNGIWA kuhariri Wikipedia! -->

Serikali

Habari

Picha

(Sura mpay ya sudan)

Utalii

Nyingine


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesoto | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Uhabeshi | Uswazi | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya kiafrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Ufaransa: Mayotte · Réunion | Hispania: Visiwa vya Kanari · Ceuta · Melilla | Ureno: Visiwa vya Madeira | Uingereza: · Kisiwa cha St. Helena · Kisiwa cha Diego Garcia
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine