Stanley Clarke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Stanley Clarke (na George Duke)

Stanley Clarke (amezaliwa 30 Juni, 1951 mjini Philadelphia, Pennsylvania) alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Alikuwa anapiga muziki wa jazz.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Stanley Clarke kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.