Shaunge

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Shaunge
Shaunge zambarau
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Gruiformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Rallidae (Ndege walio na mnasaba na viluwiri)
Jenasi: Porphyrio
Brisson, 1760
Spishi: Angalia katiba

Shaunge ni ndege wa jenasi Porphyrio katika familia ya Rallidae. Huitwa kukutanda pia. Wanafanana sana na kukuziwa lakini rangi yao ni buluu au zambarau. Wana kigao chekundu isipokuwa Porphyrio flavirostris ambaye ana kigao njano. Mwenendo wao ni kama kukuziwa.

Yaliyomo

[hariri] Spishi za Afrika

[hariri] Spishi za mabara mengine

[hariri] Spishi za kabla ya historia

[hariri] Picha

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine