Shaunge ni ndege wa jenasi Porphyrio katika familia ya Rallidae. Huitwa kukutanda pia. Wanafanana sana na kukuziwa lakini rangi yao ni buluu au zambarau. Wana kigao chekundu isipokuwa Porphyrio flavirostris ambaye ana kigao njano. Mwenendo wao ni kama kukuziwa.
Spishi za Afrika [hariri]
Spishi za mabara mengine [hariri]
Spishi za kabla ya historia [hariri]
- Porphyrio kukwiedei (New Caledonian Swamphen) (Kaledonia Mpya, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio mcnabi (Huahine Swamphen) (Polynesia ya Kifaransa, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio sp. (Buka Swamphen) (Visiwa vya Solomon, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio sp. (Giant Swamphen) (Kisiwa cha New Ireland, Papua Guinea Mpya, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio sp. (New Ireland Swamphen) (Papua Guinea Mpya, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio sp. (Norfolk Island Swamphen) (Kisiwa cha Norfolk, mwisho wa Quaternary)
- Porphyrio sp. (Rota Swamphen) (Kisiwa cha Rota, Marianas, mwisho wa Quaternary)
- ?Porphyrio sp. (Mangaia Swamphen/Woodhen) (Kisiwa cha Mangaia, Visiwa vya Cook, mwisho wa Quaternary) - labda Porphyrio, Gallinula au Pareudiastes
-
-
American purple gallinule