Kikwata

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Senegalia)
Kikwata
(Senegalia spp.)
Kikwata kusi
Kikwata kusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Mimosoideae (Mimea inayofanana na kifauwongo)
Jenasi: Senegalia (Vikwata)
Rafinesque, 1838
Spishi: Angalia matini.
Miiba ya kikwata cha Gregg (S. greggii)

Vikwata ni miti ya jenasi Senegalia katika familia Fabaceae yenye miiba iliyopinda na majani yenye sehemu nyingi. Zamani spishi hizi ziliainishwa katika jenasi Acacia lakini wanasayansi wamegawanya jenasi hii kwenye jenasi tano: Acacia, Vachellia, Senegalia, Acaciella na Mariosousa[1]. Spishi za Senegalia zina miiba ilyopinda ambayo imetawanyika kwenye matawi. Miti hii inatokea maeneo kavu ya Afrika, Amerika, Asia na Australia.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. The Acacia Debate. Science In Public (2011). Iliwekwa mnamo 2011-08-03.