Sari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Sari (Kitapuri: Sari ) ni makao makuu ya mkoa wa Mazandaran katika Uajemi. Idadi ya wakazi inakadiriwa kuwa takriban nusu milioni. Mji uko kaskazini ya milima ya Alborz na karibu na Bahari ya Kaspi.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine