Sari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Faili:Melal Park (Melal means nations).jpg
Mji wa Melal,Sari
Jengo la Manispaa ya Melal,Sari

Sari (kwa Kiajemi: ساری‎, Sārī; pia: Shahr-e-Tajan na Shari-e-Tajan) ni makao makuu ya mkoa wa Mazandaran katika Uajemi.

Mji uko kaskazini mwa milima ya Alborz na karibu na Bahari ya Kaspi.

Idadi ya wakazi inakadiriwa kuwa takriban nusu milioni.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sari kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.