Sarawak
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
|
|||||
| Wito la taifa: Bersatu, Berusaha, Berbakti | |||||
| Wimbo wa taifa: Ibu Pertiwiku | |||||
| Mji mkuu | Kuching |
||||
| Mji mkubwa nchini | Kuching | ||||
| Lugha rasmi | |||||
| Serikali | Abang Muhammad Salahuddin |
||||
| History Brunei Sultanate |
19th century | ||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
124,450 km² () - |
||||
| Idadi ya watu - 2006 kadirio - Msongamano wa watu |
2,357,500 () 19.1/km² () |
||||
| Fedha | ([[ISO 4217|]]) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC{{{utc_offset}}}) {{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}}) |
||||
| Intaneti TLD | {{{cctld}}} | ||||
| Kodi ya simu | +{{{calling_code}}}
- |
||||
Sarawak ni usultani kwenye kaskazini ya kisiwa cha Borneo na dola la maungano ya shirikisho la Malaysia.
Mji mkuu ni Kuching mwenye wakazi 579,900. Miji mingine mikubwa zaidi ni Sibu (wakazi 254,000), Miri (Wakazi 263,000) na Bintulu (wakazi 176,800). Hakuna taifa au kabila kubwa lenye watu zaidi ya asilimia 50 katika eneo lolote.
Wikimedia Commons ina media kuhusu: