Santa Monica, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Santa Monica
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya Los Angeles
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 88,050
Tovuti:  www.smgov.net
Gati wa Santa Monica
Ramanii ya Santa Monica
Santa Monica Mall

Santa Monica (kwa Kihispania "Mtakatifu Monika") ni mji wa Marekani katika jimbo la California.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2006, mji una wakazi wapatao 88,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 32 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santa Monica, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.