Santa Monica, California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Santa Monica
Skyline ya Jiji la Santa Monica
Nchi Marekani
Jimbo California
Kitongoji Los Angeles
Idadi ya wakazi
 - Mji 88,050
Website: www.smgov.net
Ramanii ya Santa Monica
Santa Monica Mall

Santa Monica ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, mji una wakazi wapatao 88,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 32 kutoka juu ya usawa wa bahari.

[hariri] Viungo vya nje


Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santa Monica, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.