Saning'o Kaika Ole Telele
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Saning'o Kaika Ole Telele (amezaliwa tar. 15 Januari 1954) ni mbunge wa jimbo la Ngorongoro katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
- ↑ Mengi kuhusu Saning'o Kaika Ole Telele (17 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.
| Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |